Isaiah 32:16 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Haki itadumu katika nchi iliyokuwa nyika, uadilifu utatawala katika mashamba yenye rutuba.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Haki itakaa katika jangwa, na uadilifu utakaa katika shamba lenye rutuba.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ndipo hukumu itakaa katika jangwa, na haki itakaa katika shamba lizaalo sana.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Haki itadumu katika nchi iliyokuwa nyika, uadilifu utatawala katika mashamba yenye rutuba.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Haki itakaa katika jangwa na uadilifu utakaa katika shamba lenye rutuba.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Haki itakaa katika jangwa, na uadilifu utakaa katika shamba lenye rutuba.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ndipo hukumu itakaa katika jangwa, na haki itakaa katika shamba lizaalo sana.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Haki itadumu katika nchi iliyokuwa nyika, uadilifu utatawala katika mashamba yenye rutuba.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
ndipo, mashauri ya nyikani yatakapokatwa kwa unyofu, nao wongofu utakaa mashambani kwa mizabibu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ndipo hukumu itakaa katika jangwa, na haki itakaa katika shamba lizaalo sana.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Katika inchi jangwa, watu watafuata sheria ya Mungu, katika mashamba yenye udongo muzuri, watatenda kwa haki.