Isaiah 32:18 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Watu wangu watakaa katika makao ya amani, katika maskani salama na mazingira matulivu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Watu wangu wataishi katika makao ya mahali pa amani, katika nyumba zilizo salama, katika mahali pa kupumzika pasipo na usumbufu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na watu wangu watakaa katika kao la amani; na katika maskani zilizo salama, na katika mahali pa kupumzikia penye utulivu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Watu wangu watakaa katika makao ya amani, katika maskani salama na mazingira matulivu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Watu wangu wataishi katika makao ya mahali pa amani, katika nyumba zilizo salama, katika mahali pa kupumzika pasipo na usumbufu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Watu wangu wataishi katika makao ya mahali pa amani, katika nyumba zilizo salama, katika mahali pa kupumzika pasipo na usumbufu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na watu wangu watakaa katika makao ya amani; na katika maskani zilizo salama, na katika mahali pa kupumzikia penye utulivu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Watu wangu watakaa katika makao ya amani, katika maskani salama na mazingira matulivu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, wao walio ukoo wangu watakapokaa mahali penye utengemano na katika makao ya kukaa salama na katika vituo visivyowasumbua.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na watu wangu watakaa katika kao la amani; na katika maskani zilizo salama, na katika mahali pa kupumzikia penye utulivu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Watu wangu watakaa katika makao ya amani, katika pahali penye usalama na nafasi yenye utulivu.