Isaiah 32:8 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini waungwana hutenda kiungwana, nao hutetea mambo ya kiungwana.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini mtu muungwana hufanya mipango ya kiungwana, na kwa matendo ya kiungwana yeye hufanikiwa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Bali mwungwana huwaza mambo ya kiungwana, naye hushika sana mambo ya kiungwana.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini waungwana hutenda kiungwana, nao hutetea mambo ya kiungwana.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini mtu mwungwana hufanya mipango ya kiungwana na kwa matendo ya kiungwana yeye hufanikiwa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini mtu muungwana hufanya mipango ya kiungwana, na kwa matendo ya kiungwana yeye hufanikiwa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Bali muungwana huwaza mambo ya kiungwana, naye hushika sana mambo ya kiungwana.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini waungwana hutenda kiungwana, nao hutetea mambo ya kiungwana.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini aliye bwana mkubwa huwaza yapatanayo na ubwana, naye atayasimamia ya ubwana.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Bali mwungwana huwaza mambo ya kiungwana, naye hushika sana mambo ya kiungwana.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini wenye heshima wanatenda mambo ya heshima, nao wanatetea mambo yenye heshima.