Isaiah 33:12 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Watu watakuwa kama wamechomwa kuwa majivu, kama miiba iliyokatwa na kuteketezwa motoni.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mataifa watachomwa wawe majivu; kama vichaka vya miiba vilivyokatwa ndivyo watakavyochomwa.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nao mataifa watakuwa kama kuchoma chokaa, kama miiba iliyokatika, iteketezwayo motoni.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Watu watakuwa kama wamechomwa kuwa majivu, kama miiba iliyokatwa na kuteketezwa motoni.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mataifa yatachomwa kama ichomwavyo chokaa, kama vichaka vya miiba vilivyokatwa ndivyo watakavyochomwa.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mataifa yatachomwa kama ichomwavyo chokaa, kama vichaka vya miiba vilivyokatwa ndivyo watakavyochomwa.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nao mataifa watakuwa kama kuchoma chokaa, kama miiba iliyokatika, iteketezwayo motoni.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Watu watakuwa kama wamechomwa kuwa majivu, kama miiba iliyokatwa na kuteketezwa motoni.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, makabila ya watu yatakapochomwa kama chokaa, watakuwa kama miiba iliyokatwa ya kuteketezwa na moto.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nao mataifa watakuwa kama kuchoma chokaa, kama miiba iliyokatika, iteketezwayo motoni.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Watu watakuwa kama wamechomwa kuwa majivu, kama miiba iliyokatwa na kuteketezwa katika moto.