Isaiah 33:18 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtafikiria tisho lililopita na kujiuliza, “Wako wapi wale waliokadiria na kukisia kodi? Wako wapi wale waliopeleleza ulinzi wetu?”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Katika mawazo yenu mtaifikiria hofu iliyopita: “Yuko wapi yule afisa mkuu? Yuko wapi yule aliyechukua ushuru? Yuko wapi afisa msimamizi wa minara?”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Moyo wako utatafakari hofu ile; Yuko wapi yeye aliyehesabu? Yuko wapi yeye aliyeupima ushuru? Yuko wapi yeye aliyeihesabu minara?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtafikiria tisho lililopita na kujiuliza, “Wako wapi wale waliokadiria na kukisia kodi? Wako wapi wale waliopeleleza ulinzi wetu?”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Katika mawazo yenu mtaifikiria hofu iliyopita: “Yuko wapi yule afisa mkuu? Yuko wapi yule aliyechukua ushuru? Yuko wapi afisa msimamizi wa minara?”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Katika mawazo yenu mtaifikiria hofu iliyopita: “Yuko wapi yule afisa mkuu? Yuko wapi yule aliyechukua ushuru? Yuko wapi afisa msimamizi wa minara?”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Moyo wako utatafakari hofu ile; Yuko wapi yeye aliyehesabu? Yuko wapi yeye aliyeupima ushuru? Yuko wapi yeye aliyeihesabu minara?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtafikiria tisho lililopita na kujiuliza, “Wako wapi wale waliokadiria na kukisia kodi? Wako wapi wale waliopeleleza ulinzi wetu?”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Moyo wako utakapoyawaza yale mastusho utasema: Yuko wapi mwenye kuhesabu fedha? Yuko wapi mwenye kuzipima? Yuko wapi mwenye kuihesabu minara?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Moyo wako utatafakari hofu ile; Yuko wapi yeye aliyehesabu? Yuko wapi yeye aliyeupima ushuru? Yuko wapi yeye aliyeihesabu minara?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutakumbuka kitisho kilichopita na kujiuliza: Wako wapi wale waliokadirisha na kuchunguza kodi? Wako wapi wale waliopeleleza ugumu wa kuta zetu?