Isaiah 33:19 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hamtawaona tena watu wale wenye kiburi, wanaozungumza lugha isiyoeleweka.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hutawaona tena wale watu wenye kiburi, wale watu wenye usemi wa mafumbo, wenye lugha ngeni, isiyoeleweka.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hutawaona watu wale wakali; watu wa maneno magumu usiyoweza kuyafahamu; wenye lugha ya kigeni usiyoweza kuelewa nayo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hamtawaona tena watu wale wenye kiburi, wanaozungumza lugha isiyoeleweka.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hutawaona tena wale watu wenye kiburi, wale watu wenye usemi wa mafumbo, wenye lugha ngeni, isiyoeleweka.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hutawaona tena wale watu wenye kiburi, wale watu wenye usemi wa mafumbo, wenye lugha ngeni, isiyoeleweka.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hutawaona watu wale wakali; watu wa maneno magumu usiyoweza kuyafahamu; wenye lugha ya kigeni usiyoweza kuielewa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hamtawaona tena watu wale wenye kiburi, wanaozungumza lugha isiyoeleweka.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lile kabila lenye ukorofi hulioni tena, ndimi zao zikagugumiza tu maneno yasiyokuwa na maana.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hutawaona watu wale wakali; watu wa maneno magumu usiyoweza kuyafahamu; wenye lugha ya kigeni usiyoweza kuelewa nayo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hamutawaona tena watu wale wenye kiburi, wanaozungumuza luga isiyoeleweka.