Isaiah 36:14 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hiki ndicho anachosema mfalme: Msikubali Hezekia awadanganye, kwa sababu hataweza kuwaokoa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hili ndilo asemalo mfalme: Msikubali Hezekia awadanganye. Hawezi kuwaokoa!
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mfalme asema hivi; Hezekia asiwadanganye, kwa maana hataweza kuwaokoa;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hiki ndicho anachosema mfalme: Msikubali Hezekia awadanganye, kwa sababu hataweza kuwaokoa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hili ndilo mfalme asemalo: Msikubali Hezekia awadanganye. Hawezi kuwaokoa!
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hili ndilo asemalo mfalme: Msikubali Hezekia awadanganye. Hawezi kuwaokoa!
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mfalme asema hivi; Hezekia asiwadanganye, kwa maana hataweza kuwaokoa;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hiki ndicho anachosema mfalme: Msikubali Hezekia awadanganye, kwa sababu hataweza kuwaokoa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hivi ndivyo, mfalme anavyosema: Hizikia asiwadanganye! Kwani hataweza kuwaponya ninyi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mfalme asema hivi; Hezekia asiwadanganye, kwa maana hataweza kuwaokoa;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hivi ndivyo mufalme anavyosema: Musikubali Hezekia awadanganye, kwa sababu hataweza kuwaokoa.