Isaiah 40:16 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kuni zote za Lebanoni na wanyama wake wote havitoshi kwa sadaka ya kuteketezwa mbele yake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lebanoni hautoshi kwa moto wa madhabahuni, wala wanyama wake hawatoshi kwa sadaka za kuteketezwa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Lebanoni nayo hautoshi kwa kuni, wala wanyama wake hawatoshi kwa kafara.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kuni zote za Lebanoni na wanyama wake wote havitoshi kwa sadaka ya kuteketezwa mbele yake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lebanoni hautoshi kwa moto wa madhabahuni, wala wanyama wake hawatoshi kwa sadaka za kuteketezwa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lebanoni hautoshi kwa moto wa madhabahuni, wala wanyama wake hawatoshi kwa sadaka za kuteketezwa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Lebanoni nao hautoshelezi kwa kuni, wala wanyama wake hawatoshi kwa kafara.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kuni zote za Lebanoni na wanyama wake wote havitoshi kwa sadaka ya kuteketezwa mbele yake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Misitu ya Libanoni haitoshi kuwa kuni, nao nyama wake hawatoshi kuwa ng'ombe za tambiko.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lebanoni nayo hautoshi kwa kuni, wala wanyama wake hawatoshi kwa kafara.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kuni zote za Lebanoni na nyama wake wote havitoshi kwa sadaka ya kuteketezwa mbele yake.