Isaiah 40:17 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mataifa yote si kitu mbele yake; kwake ni vitu duni kabisa na batili.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mbele yake mataifa yote ni kama si kitu, yanaonekana yasio na thamani na zaidi ya bure kabisa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mataifa yote huwa kama si kitu mbele zake; huhesabiwa kwake kuwa duni ya si kitu, na ubatili.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mataifa yote si kitu mbele yake; kwake ni vitu duni kabisa na batili.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mbele yake mataifa yote ni kama si kitu, yanaonekana yasio na thamani na zaidi ya bure kabisa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mbele yake mataifa yote ni kama si kitu, yanaonekana yasio na thamani na zaidi ya bure kabisa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mataifa yote huwa kama si kitu mbele zake; huhesabiwa kwake kuwa duni kabisa na batili.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mataifa yote si kitu mbele yake; kwake ni vitu duni kabisa na batili.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mataifa yote yako mbele yake, kama si kitu, huwaziwa kuwa kama hayako kabisa na kuwa hayana maana.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mataifa yote huwa kama si kitu mbele zake; huhesabiwa kwake kuwa duni ya si kitu, na ubatili.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mataifa yote si kitu mbele yake; kwake ni vitu vya ovyo na bure kabisa.