Isaiah 40:25 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mungu Mtakatifu auliza hivi: “Nani basi, mtakayemlinganisha nami? Je, kuna mtu aliye kama mimi?”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Utanilinganisha mimi na nani? Au ni nani anayelingana nami?” asema yeye Aliye Mtakatifu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mtanifananisha na nani, basi, nipate kuwa sawa naye? Asema yeye aliye Mtakatifu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mungu Mtakatifu auliza hivi: “Nani basi, mtakayemlinganisha nami? Je, kuna mtu aliye kama mimi?”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Utanilinganisha mimi na nani? Au ni nani anayelingana nami?” Asema yeye Aliye Mtakatifu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Utanilinganisha mimi na nani? Au ni nani anayelingana nami?” asema yeye Aliye Mtakatifu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mtanifananisha na nani, basi, nipate kuwa sawa naye? Asema yeye aliye Mtakatifu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mungu Mtakatifu auliza hivi: “Nani basi, mtakayemlinganisha nami? Je, kuna mtu aliye kama mimi?”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa hiyo mtanifananisha na nani, niwe, kama yeye alivyo? Ndivyo, Mtakatifu anavyosema.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mtanifananisha na nani, basi, nipate kuwa sawa naye? Asema yeye aliye Mtakatifu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mungu Mutakatifu anauliza hivi: Basi, mutanilinganisha na nani? Kuna mutu anayeweza kuwa sawasawa mimi?