Isaiah 43:7 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kila mmoja hujulikana kwa jina langu, niliwaumba wote na kuwafanya kwa ajili ya utukufu wangu.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
kila mmoja ambaye ameitwa kwa Jina langu, niliyemuumba kwa utukufu wangu, niliyemhuluku na kumfanya.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kila mmoja aliyeitwa kwa jina langu, niliyemwumba kwa ajili ya utukufu wangu; mimi nimemwumba, naam, mimi nimemfanya.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kila mmoja hujulikana kwa jina langu, niliwaumba wote na kuwafanya kwa ajili ya utukufu wangu.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
kila mmoja ambaye ameitwa kwa Jina langu, niliyemwumba kwa utukufu wangu, niliyemhuluku na kumfanya.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
kila mmoja ambaye ameitwa kwa Jina langu, niliyemuumba kwa utukufu wangu, niliyemhuluku na kumfanya.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kila mmoja aliyeitwa kwa jina langu, niliyemwumba kwa ajili ya utukufu wangu; mimi nimemwumba, naam, mimi nimemfanya.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kila mmoja hujulikana kwa jina langu, niliwaumba wote na kuwafanya kwa ajili ya utukufu wangu.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
wao wote waitwao kwa Jina langu! Ndio, niliowaumba, nijipatie utukufu, ndio, niliowatengeneza na kuwafanya.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kila mmoja aliyeitwa kwa jina langu, niliyemwumba kwa ajili ya utukufu wangu; mimi nimemwumba, naam, mimi nimemfanya.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kila mumoja anajulikana kwa jina langu; niliwaumba wote na kuwafanya kwa ajili ya utukufu wangu.”