Isaiah 44:16 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kisha huchukua kuni zake akaoka nazo moto, akachoma nyama juu yake, akala, akashiba. Halafu hukaa hapo akiota moto na kusema, “Naam! Ama kweli nimepata joto! Huo ndio moto!”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Sehemu ya kuni huziweka motoni, akapikia chakula chake, hubanika nyama na kula hadi ashibe. Huota moto na kusema, “Aha! Ninahisi joto, ninaona moto.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Sehemu moja huiteketeza; kwa sehemu nyingine hula nyama; huoka chakula kiokwacho, akashiba; naam, huota moto, akasema, Aha, nimeota moto, nimeona moto;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kisha huchukua kuni zake akaoka nazo moto, akachoma nyama juu yake, akala, akashiba. Halafu hukaa hapo akiota moto na kusema, “Naam! Ama kweli nimepata joto! Huo ndio moto!”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Sehemu ya kuni huziweka motoni, akapikia chakula chake, hubanika nyama na kula hadi ashibe. Huota moto na kusema, “Aha! Ninahisi joto, ninaona moto.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Sehemu ya kuni huziweka motoni, akapikia chakula chake, hubanika nyama na kula hadi ashibe. Huota moto na kusema, “Aha! Ninahisi joto, ninaona moto.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Sehemu moja huiteketeza; kwa sehemu nyingine hula nyama; huoka chakula kiokwacho, akashiba; naam, huota moto, akasema, Aha, nimeota moto, nimeona moto;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kisha huchukua kuni zake akaoka nazo moto, akachoma nyama juu yake, akala, akashiba. Halafu hukaa hapo akiota moto na kusema, “Naam! Ama kweli nimepata joto! Huo ndio moto!”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hivyo hutumia kipande cha mti cha kuchoma moto, apate kuota, kipande cha kupikia nyama, ale nazo zilizochomwa, ashibe, apate hata jasho, aseme: A, nimepata jasho, nimeona moto!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Sehemu moja huiteketeza; kwa sehemu nyingine hula nyama; huoka chakula kiokwacho, akashiba; naam, huota moto, akasema, Aha, nimeota moto, nimeona moto;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kisha anatwaa kuni zake, anakonga nazo moto, anachoma nyama juu yake, anaikula, na kushiba. Halafu anakaa pale akiota moto na kusema: Aa, kweli nimepata joto! Huo ndio moto!