Isaiah 47:3 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Watu watauona uchi wako; naam, wataiona aibu yako. Mimi nitalipiza kisasi, wala sitamhurumia yeyote.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Uchi wako utafunuliwa na aibu yako itaonekana. Nitalipa kisasi; sitamhurumia hata mmoja.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Uchi wako utafunuliwa, Naam, aibu yako itaonekana. Nitalipa kisasi; simkubali mtu ye yote.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Watu watauona uchi wako; naam, wataiona aibu yako. Mimi nitalipiza kisasi, wala sitamhurumia yeyote.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Uchi wako utafunuliwa na aibu yako itaonekana. Nitalipa kisasi; sitamhurumia hata mmoja.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Uchi wako utafunuliwa na aibu yako itaonekana. Nitalipa kisasi; sitamhurumia hata mmoja.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Uchi wako utafunuliwa, Naam, aibu yako itaonekana. Nitalipa kisasi; simkubali mtu yeyote.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Watu watauona uchi wako; naam, wataiona aibu yako. Mimi nitalipiza kisasi, wala sitamhurumia yeyote.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Uchi wako na ufunuliwe, nayo yakutiayo soni yaoneke! Nitakulipisha hivyo, hakuna nitakayemhurumia.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Uchi wako utafunuliwa, Naam, aibu yako itaonekana. Nitalipa kisasi; simkubali mtu ye yote.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Watu watauona uchi wako; wataona haya yako. Mimi nitalipiza kisasi, wala sitamuhurumia mutu yeyote.