Isaiah 48:22 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini Mwenyezi-Mungu asema hivi: “Watu waovu sitawapa amani.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Hakuna amani kwa waovu,” asema Mwenyezi Mungu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hapana amani kwa wabaya, asema Bwana.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini Mwenyezi-Mungu asema hivi: “Watu waovu sitawapa amani.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Hakuna amani kwa waovu,” asema BWANA.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Hakuna amani kwa waovu,” asema bwana.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hapana amani kwa waovu, asema BWANA.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini Mwenyezi-Mungu asema hivi: “Watu waovu sitawapa amani.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini hakuna utengemano kwo wasiomcha Mungu; ndivyo, Bwana anavyosema.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hapana amani kwa wabaya, asema BWANA.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini Yawe anasema hivi: Hakuna amani kwa watu waovu.