Isaiah 5:23 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kwa hongo kidogo wanawaachilia wenye hatia na kuwanyima wasio na hatia haki yao.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
wale wanaoachilia wenye hatia kwa kupokea hongo, lakini huwanyima haki wasio na hatia.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
wampao haki mwenye uovu, ili wapewe ijara, na kumwondolea mwenye haki haki yake!
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kwa hongo kidogo wanawaachilia wenye hatia na kuwanyima wasio na hatia haki yao.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
wale wanaoachilia wenye hatia kwa kupokea hongo, lakini huwanyima haki wasio na hatia.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
wale wanaoachilia wenye hatia kwa kupokea hongo, lakini huwanyima haki wasio na hatia.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
wampao haki mwenye uovu, ili wapewe ijara, na kumwondolea mwenye haki haki yake!
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kwa hongo kidogo wanawaachilia wenye hatia na kuwanyima wasio na hatia haki yao.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa kupenyezewa mali huwashindisha wapotovu shaurini, lakini wongofu wao waongokao huutengua, wasishinde!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
wampao haki mwenye uovu, ili wapewe ijara, na kumwondolea mwenye haki haki yake!
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa ajili ya kituliro kidogo wanawaachilia wenye kosa na kuwanyima wasiokuwa na kosa haki yao.