Isaiah 51:18 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kati ya watoto wote uliowazaa hakuna yeyote wa kukuongoza. Hakuna hata mmoja wa kukushika mkono kati ya watoto wote uliowalea.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kati ya wana wote aliowazaa hapakuwa na hata mmoja wa kumwongoza; kati ya wana wote aliowalea hapakuwa hata mmoja wa kumshika mkono.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hapana hata mmoja wa kumwongoza Miongoni mwa wana wote aliowazaa, Wala hapana hata mmoja wa kumshika mkono Miongoni mwa wana wote aliowalea.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kati ya watoto wote uliowazaa hakuna yeyote wa kukuongoza. Hakuna hata mmoja wa kukushika mkono kati ya watoto wote uliowalea.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kati ya wana wote aliowazaa hakuwepo hata mmoja wa kumwongoza, kati ya wana wote aliowalea hakuwepo hata mmoja wa kumshika mkono.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kati ya wana wote aliowazaa hakuwepo hata mmoja wa kumwongoza, kati ya wana wote aliowalea hakuwepo hata mmoja wa kumshika mkono.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hapana hata mmoja wa kumwongoza Miongoni mwa wana wote aliowazaa, Wala hapana hata mmoja wa kumshika mkono Miongoni mwa wana wote aliowalea.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kati ya watoto wote uliowazaa hakuna yeyote wa kukuongoza. Hakuna hata mmoja wa kukushika mkono kati ya watoto wote uliowalea.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Katika watoto wote, aliowazaa, hakuwako, aliyemwongoza, wala katika watoto wote, aliowakuza, hakuwako, aliyemshika mkono.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hapana hata mmoja wa kumwongoza Miongoni mwa wana wote aliowazaa, Wala hapana hata mmoja wa kumshika mkono Miongoni mwa wana wote aliowalea.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kati ya watoto wote uliowazaa hakuna yeyote wa kukuongoza. Hakuna hata mumoja wa kukushika mukono kati ya watoto wote uliowalea.