Isaiah 57:11 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Mlimwogopa na kutishwa na nani hata mkasema uongo, mkaacha kunikumbuka mimi na kuacha kabisa kunifikiria? Mimi sikuwaambia kitu kwa muda mrefu; ndio maana labda mkaacha kuniheshimu!
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Ni nani uliyemhofu hivyo na kumwogopa hata ukawa mwongo kwangu, wala hukunikumbuka au kutafakari hili moyoni mwako? Si ni kwa sababu nimekuwa kimya muda mrefu hata huniogopi?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tena ni nani uliyemwogopa na kumhofu, hata ukasema uongo, wala hukunikumbuka mimi, wala kuweka hayo moyoni? Je! Mimi sikunyamaza tangu zamani, hata huniogopi?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Mlimwogopa na kutishwa na nani hata mkasema uongo, mkaacha kunikumbuka mimi na kuacha kabisa kunifikiria? Mimi sikuwaambia kitu kwa muda mrefu; ndio maana labda mkaacha kuniheshimu!
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Ni nani uliyemhofu hivyo na kumwogopa hata ukaniambia uongo, wala hukunikumbuka au kutafakari hili moyoni mwako? Si kwa sababu nimekuwa kimya muda mrefu kwamba huniogopi?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Ni nani uliyemhofu hivyo na kumwogopa hata ukawa mwongo kwangu, wala hukunikumbuka au kutafakari hili moyoni mwako? Si ni kwa sababu nimekuwa kimya muda mrefu hata huniogopi?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tena ni nani uliyemwogopa na kumhofu, hata ukasema uongo, wala hukunikumbuka mimi, wala kuweka hayo moyoni? Je! Mimi sikunyamaza tangu zamani, hata huniogopi?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Mlimwogopa na kutishwa na nani hata mkasema uongo, mkaacha kunikumbuka mimi na kuacha kabisa kunifikiria? Mimi sikuwaambia kitu kwa muda mrefu; ndio maana labda mkaacha kuniheshimu!
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ni kwa ajili ya nani ukitishika, ukamwogopa, ukafanya ya uwongo? Lakini mimi hukunikumbuka, hukuniweka moyoni mwako. Imekuwaje? Sivyo hivyo: kwa kuwa mimi nimenyamaza tangu kale, hukuniogopa?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tena ni nani uliyemwogopa na kumhofu, hata ukasema uongo, wala hukunikumbuka mimi, wala kuweka hayo moyoni? Je! Mimi sikunyamaza tangu zamani, hata huniogopi?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mulimwogopa na kutishwa na nani hata mukasema uongo, mukaacha kunikumbuka mimi na kuacha kabisa kufikiri juu yangu? Mimi sikuwaambia kitu kwa muda murefu; ndiyo maana labda mukaacha kuniheshimu!