Isaiah 57:4 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Je, mnadhani mnamdhihaki nani? Mnamfyonya nani na kumtolea ulimi? Nyinyi wenyewe ni wahalifu tangu mwanzo, nyinyi ni kizazi kidanganyifu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mnamdhihaki nani? Ni nani mnayemcheka kwa dharau, na kumtolea ndimi zenu? Je, ninyi si watoto wa waasi, uzao wa waongo?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mnafanya dhihaka yenu juu ya nani? Mmepanua vinywa vyenu, na kutoa ndimi zenu? Je, ninyi si wana wa uasi, uzao wa uongo;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Je, mnadhani mnamdhihaki nani? Mnamfyonya nani na kumtolea ulimi? Nyinyi wenyewe ni wahalifu tangu mwanzo, nyinyi ni kizazi kidanganyifu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mnamdhihaki nani? Ni nani mnayemcheka kwa dharau na kumtolea ndimi zenu? Je, ninyi si watoto wa waasi, Uzao wa waongo?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mnamdhihaki nani? Ni nani mnayemcheka kwa dharau, na kumtolea ndimi zenu? Je, ninyi si watoto wa waasi, uzao wa waongo?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mnafanya dhihaka yenu juu ya nani? Mmepanua vinywa vyenu, na kutoa ndimi zenu? Je, ninyi si wana wa uasi, uzao wa uongo;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Je, mnadhani mnamdhihaki nani? Mnamfyonya nani na kumtolea ulimi? Nyinyi wenyewe ni wahalifu tangu mwanzo, nyinyi ni kizazi kidanganyifu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yuko nani, mnayemcheka? Yuko nani, mnayemwasamia vinywa na kutoa ndimi? Je? Ninyi ham wana wa upotovu na mazao ya uwongo?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mnafanya dhihaka yenu juu ya nani? Mmepanua vinywa vyenu, na kutoa ndimi zenu? Je, ninyi si wana wa uasi, uzao wa uongo;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ni nani munayemuchekelea? Munamuzomea nani na kumutoshea ulimi inje? Ninyi wenyewe ni waasi tangu mwanzo, ninyi ni kizazi kidanganyifu.