Isaiah 60:1 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Inuka ee Siyoni uangaze; maana mwanga unachomoza kwa ajili yako, utukufu wa Mwenyezi-Mungu unakuangaza.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Ondoka, angaza, kwa kuwa nuru yako imekuja na utukufu wa Mwenyezi Mungu umezuka juu yako.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ondoka, uangaze; kwa kuwa nuru yako imekuja, Na utukufu wa Bwana umekuzukia.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Inuka ee Siyoni uangaze; maana mwanga unachomoza kwa ajili yako, utukufu wa Mwenyezi-Mungu unakuangaza.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Ondoka, angaza, kwa kuwa nuru yako imekuja na utukufu wa BWANA umezuka juu yako.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Ondoka, angaza, kwa kuwa nuru yako imekuja na utukufu wa bwana umezuka juu yako.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ondoka, uangaze; kwa kuwa nuru yako imekuja, Na utukufu wa BWANA umekuzukia.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Inuka ee Siyoni uangaze; maana mwanga unachomoza kwa ajili yako, utukufu wa Mwenyezi-Mungu unakuangaza.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
*Inuka uangazike! Kwani mwanga wako unakuja, nao utukufu wa Bwana umekuzukia.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ondoka, uangaze; kwa kuwa nuru yako imekuja, Na utukufu wa BWANA umekuzukia.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Simama, ee Sayuni uangaze; maana mwangaza unatokea kwa ajili yako, utukufu wa Yawe unakuangazia.