Isaiah 60:12 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kila ufalme au taifa lisilokutumikia litaangamia; mataifa hayo yatatokomezwa kabisa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa maana taifa au ufalme ule ambao hautakutumikia utaangamia; utaharibiwa kabisa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa maana kila taifa na ufalme wa watu Wasiotaka kukutumikia wataangamia; Naam, mataifa hayo wataharibiwa kabisa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kila ufalme au taifa lisilokutumikia litaangamia; mataifa hayo yatatokomezwa kabisa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa maana taifa au ufalme ule ambao hautakutumikia utaangamia; utaharibiwa kabisa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa maana taifa au ufalme ule ambao hautakutumikia utaangamia; utaharibiwa kabisa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa maana kila taifa na ufalme wa watu Wasiotaka kukutumikia wataangamia; Naam, mataifa hayo wataharibiwa kabisa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kila ufalme au taifa lisilokutumikia litaangamia; mataifa hayo yatatokomezwa kabisa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani kila taifa na kila nchi ya kifalme itakayokataa kukutumikia itaangamia, nao watu wao watatoweka kabisa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa maana kila taifa na ufalme wa watu Wasiotaka kukutumikia wataangamia; Naam, mataifa hayo wataharibiwa kabisa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kila ufalme au taifa lisilokutumikia litaangamizwa; mataifa hayo yatateketezwa kabisa.