Isaiah 60:19 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Hutahitaji tena jua kukuangazia mchana, wala mwezi kukumulikia usiku; maana mimi Mwenyezi-Mungu ni mwanga wako milele; mimi Mungu wako nitakuwa fahari yako.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Jua halitakuwa tena nuru yako mchana, wala mwangaza wa mwezi hautakuangazia, kwa maana Mwenyezi Mungu atakuwa nuru yako ya milele, naye Mungu wako atakuwa utukufu wako.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Jua halitakuwa nuru yako tena wakati wa mchana, Wala mwezi hautakupa nuru kwa mwangaza wake; Bali Bwana atakuwa nuru ya milele kwako, Na Mungu wako atakuwa utukufu wako.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Hutahitaji tena jua kukuangazia mchana, wala mwezi kukumulikia usiku; maana mimi Mwenyezi-Mungu ni mwanga wako milele; mimi Mungu wako nitakuwa fahari yako.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Jua halitakuwa tena nuru yako mchana, wala mwangaza wa mwezi hautakuangazia, kwa maana BWANA atakuwa nuru yako ya milele, naye Mungu wako atakuwa utukufu wako.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Jua halitakuwa tena nuru yako mchana, wala mwangaza wa mwezi hautakuangazia, kwa maana bwana atakuwa nuru yako ya milele, naye Mungu wako atakuwa utukufu wako.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Jua halitakuwa nuru yako tena wakati wa mchana, Wala mwezi hautakupa nuru kwa mwangaza wake; Bali BWANA atakuwa nuru ya milele kwako, Na Mungu wako atakuwa utukufu wako.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Hutahitaji tena jua kukuangazia mchana, wala mwezi kukumulikia usiku; maana mimi Mwenyezi-Mungu ni mwanga wako milele; mimi Mungu wako nitakuwa fahari yako.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Halitawaka tena jua kwako kuwa mwanga wa mchana, wala mwezi hautakumulikia tena, upate kuona, kwani Bwana atakuwa mwanga wako kale na kale, Mungu wako atakuwa utukufu wako.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Jua halitakuwa nuru yako tena wakati wa mchana, Wala mwezi hautakupa nuru kwa mwangaza wake; Bali BWANA atakuwa nuru ya milele kwako, Na Mungu wako atakuwa utukufu wako.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hautahitaji tena jua kukuangazia muchana, wala mwezi kukuangazia usiku; maana mimi Yawe ni mwangaza wako milele; mimi Mungu wako nitakuwa utukufu wako.