Isaiah 60:20 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mwanga wako mchana hautatua kama jua, wala mwangaza wako usiku kufifia kama mbalamwezi; maana Mwenyezi-Mungu ni mwanga wako milele, nazo siku zako za kuomboleza zitakoma.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Jua lako halitazama tena, nao mwezi wako hautafifia tena; Mwenyezi Mungu atakuwa nuru yako milele, nazo siku zako za huzuni zitakoma.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Jua lako halitashuka tena, Wala mwezi wako hautajitenga; Kwa kuwa Bwana mwenyewe atakuwa nuru yako ya milele; Na siku za kuomboleza kwako zitakoma.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mwanga wako mchana hautatua kama jua, wala mwangaza wako usiku kufifia kama mbalamwezi; maana Mwenyezi-Mungu ni mwanga wako milele, nazo siku zako za kuomboleza zitakoma.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Jua lako halitazama tena, nao mwezi wako hautafifia tena; BWANA atakuwa nuru yako milele, nazo siku zako za huzuni zitakoma.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Jua lako halitazama tena, nao mwezi wako hautafifia tena; bwana atakuwa nuru yako milele, nazo siku zako za huzuni zitakoma.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Jua lako halitashuka tena, Wala mwezi wako hautajitenga; Kwa kuwa BWANA mwenyewe atakuwa nuru yako ya milele; Na siku za kuomboleza kwako zitakoma.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mwanga wako mchana hautatua kama jua, wala mwangaza wako usiku kufifia kama mbalamwezi; maana Mwenyezi-Mungu ni mwanga wako milele, nazo siku zako za kuomboleza zitakoma.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Jua lako halitakuchwa tena, wala mwezi wako hautakufa tena, kwani Bwana atakuwa mwanga wako wa kale na kale, nazo siku zako za kusikitika zitakuwa zimekwisha.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Jua lako halitashuka tena, Wala mwezi wako hautajitenga; Kwa kuwa BWANA mwenyewe atakuwa nuru yako ya milele; Na siku za kuomboleza kwako zitakoma.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mwangaza wako muchana hautatua kama jua, wala mwangaza wako usiku kufifia kama mbalamwezi; maana Yawe ni mwangaza wako milele, nazo siku zako za kuomboleza zitakoma.