Isaiah 60:4 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Inua macho utazame pande zote; wote wanakusanyika waje kwako. Wanao wa kiume watafika toka mbali, wanao wa kike watabebwa mikononi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Inua macho yako na utazame pande zote: Wote wanakusanyika na kukujia, wana wako wanakuja toka mbali, nao binti zako wanabebwa mikononi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Inua macho yako, utazame pande zote; Wote wanakusanyana; wanakujia wewe; Wana wako watakuja kutoka mbali. Na binti zako watabebwa nyongani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Inua macho utazame pande zote; wote wanakusanyika waje kwako. Wanao wa kiume watafika toka mbali, wanao wa kike watabebwa mikononi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Inua macho yako na utazame pande zote: Wote wanakusanyika na kukujia, wana wako wanakuja toka mbali, nao binti zako wanabebwa mikononi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Inua macho yako na utazame pande zote: Wote wanakusanyika na kukujia, wana wako wanakuja toka mbali, nao binti zako wanabebwa mikononi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Inua macho yako, utazame pande zote; Wote wanakusanyana; wanakujia wewe; Wana wako watakuja kutoka mbali. Na binti zako watabebwa nyongani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Inua macho utazame pande zote; wote wanakusanyika waje kwako. Wanao wa kiume watafika toka mbali, wanao wa kike watabebwa mikononi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yainue macho yako, utazame po pote! Hao wote wamekusanyika, waje kwako; wanao wa kiume watakuja, wakitoka mbali, wanao wa kike wataletwa na kubebwa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Inua macho yako, utazame pande zote; Wote wanakusanyana; wanakujia wewe; Wana wako watakuja kutoka mbali. Na binti zako watabebwa nyongani.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Inua macho uangalie pande zote; wote wanakusanyika wakuje kwako. Wana wako watafika toka mbali, wabinti zako watabebwa katika mikono.