Isaiah 63:12 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
ambaye kwa mkono wake wenye nguvu alifanya maajabu kwa njia ya Mose, akapasua bahari na kuwaongoza watu wake, na kujipatia jina la milele?
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
aliyetuma mkono wake uliotukuka wenye nguvu kuwa katika mkono wa kuume wa Musa, aliyegawa maji ya bahari mbele yao, ili kujipatia jina milele,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Aliyewaongoza kwa mkono wake mtukufu, kwa mkono wa kuume wa Musa? Aliyeyatenga maji mbele yao, ili ajifanyie jina la milele?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
ambaye kwa mkono wake wenye nguvu alifanya maajabu kwa njia ya Mose, akapasua bahari na kuwaongoza watu wake, na kujipatia jina la milele?
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
aliyetuma mkono wake uliotukuka wenye nguvu kuwa katika mkono wa kuume wa Mose, aliyegawa maji ya bahari mbele yao, ili kujipatia jina milele,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
aliyetuma mkono wake uliotukuka wenye nguvu kuwa katika mkono wa kuume wa Musa, aliyegawa maji ya bahari mbele yao, ili kujipatia jina milele,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Aliyewaongoza kwa mkono wake mtukufu, kwa mkono wa kulia wa Musa? Aliyeyatenga maji mbele yao, ili ajifanyie jina la milele?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
ambaye kwa mkono wake wenye nguvu alifanya maajabu kwa njia ya Mose, akapasua bahari na kuwaongoza watu wake, na kujipatia jina la milele?
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa mkono wake wenye utukufu alimwongoza Mose alipomshika mkono wake wa kuume, akayatenga maji mbele yao, ajipatie Jina la kale na kale.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Aliyewaongoza kwa mkono wake mtukufu, kwa mkono wa kuume wa Musa? Aliyeyatenga maji mbele yao, ili ajifanyie jina la milele?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
ambaye kwa mukono wake wenye nguvu alifanya maajabu kwa njia ya Musa, akapasua bahari na kuwaongoza watu wake, na kujipatia jina la milele?