Isaiah 65:21 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Watu watajenga nyumba na kuishi humo; watalima mizabibu na kula matunda yake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Watajenga nyumba na kuishi ndani yake; watapanda mashamba ya mizabibu na kula matunda yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nao watajenga nyumba, na kukaa ndani yake; watapanda mizabibu, na kula matunda yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Watu watajenga nyumba na kuishi humo; watalima mizabibu na kula matunda yake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Watajenga nyumba na kuishi ndani yake; watapanda mashamba ya mizabibu na kula matunda yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Watajenga nyumba na kuishi ndani yake; watapanda mashamba ya mizabibu na kula matunda yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nao watajenga nyumba, na kukaa ndani yake; watapanda mizabibu, na kula matunda yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Watu watajenga nyumba na kuishi humo; watalima mizabibu na kula matunda yake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Watakaojenga nyumba wataikaa, watakaopanda mizabibu wataila matunda yao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nao watajenga nyumba, na kukaa ndani yake; watapanda mizabibu, na kula matunda yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Watu watajenga nyumba na kuishi humo; watalima mizabibu na kula matunda yake.