Isaiah 7:24 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Watu watakwenda huko kuwinda kwa pinde na mishale, maana nchi yote itakuwa imejaa mbigili na miiba.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Watu wataenda huko wakiwa na upinde na mshale, kwa maana nchi itafunikwa na michongoma na miiba.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mtu atakayekwenda huko atakwenda na mishale na upinde; kwa sababu nchi yote itakuwa ina mibigili na miiba.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Watu watakwenda huko kuwinda kwa pinde na mishale, maana nchi yote itakuwa imejaa mbigili na miiba.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Watu watakwenda huko wakiwa na upinde na mshale, kwa maana nchi itafunikwa na michongoma na miiba.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Watu watakwenda huko wakiwa na upinde na mshale, kwa maana nchi itafunikwa na michongoma na miiba.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mtu atakayekwenda huko atakwenda na mishale na upinde; kwa sababu nchi yote itakuwa ina mbigili na miiba.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Watu watakwenda huko kuwinda kwa pinde na mishale, maana nchi yote itakuwa imejaa mbigili na miiba.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Watu wakienda mahali kama hapo watashika mishale na pindi, kwani nchi nzima itakuwa mapori yenye mikunju na mibigili.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mtu atakayekwenda huko atakwenda na mishale na upinde; kwa sababu nchi yote itakuwa ina mibigili na miiba.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Watu watakwenda kule kuwinda kwa pinde na mishale, maana inchi yote itakuwa imejaa michongoma na miiba.