Isaiah 7:6 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
‘Twende kuivamia nchi ya Yuda, tuwatie watu hofu, tuitwae nchi na kumtawaza mwana wa Tabeeli awe mfalme wao.’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Tuishambulie Yuda, naam, tuirarue vipande vipande na kuigawa miongoni mwetu, na kumtawaza mwana wa Tabeeli awe mfalme juu yake.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Haya, na tupande ili kupigana na Yuda na kuwasumbua, tukabomoe mahali tupate kuingia, na kummilikisha mfalme ndani yake, huyo mwana wa Tabeeli.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
‘Twende kuivamia nchi ya Yuda, tuwatie watu hofu, tuitwae nchi na kumtawaza mwana wa Tabeeli awe mfalme wao.’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Tuishambulie Yuda, naam na tuirarue vipande vipande na kuigawa miongoni mwetu na kumtawaza mwana wa Tabeeli awe mfalme juu yake.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Tuishambulie Yuda, naam, tuirarue vipande vipande na kuigawa miongoni mwetu, na kumtawaza mwana wa Tabeeli awe mfalme juu yake.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Haya, na tupande ili kupigana na Yuda na kuwasumbua, tukabomoe mahali tupate kuingia, na kummilikisha mfalme ndani yake, huyo mwana wa Tabeeli.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
‘Twende kuivamia nchi ya Yuda, tuwatie watu hofu, tuitwae nchi na kumtawaza mwana wa Tabeeli awe mfalme wao.’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Na tupande kwenda Yuda, tuwastushe tukiwashambulia na kuwashinda, kisha tumweke mwana wa Tabeli kuwa mfalme kwao katikati!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Haya, na tupande ili kupigana na Yuda na kuwasumbua, tukabomoe mahali tupate kuingia, na kummilikisha mfalme ndani yake, huyo mwana wa Tabeeli.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Tuende kushambulia inchi ya Yuda, tuwaogopeshe watu wake, tuitwae inchi na kumuweka mwana wa Tabeali kuwa mufalme wao.