Isaiah 8:16 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nitalihifadhi agizo hilo na kulifunga fundisho hilo miongoni mwa wafuasi wangu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Funga ushuhuda na kutia muhuri sheria miongoni mwa wanafunzi wangu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ufunge huo ushuhuda, ukaitie muhuri sheria kati ya wanafunzi wangu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nitalihifadhi agizo hilo na kulifunga fundisho hilo miongoni mwa wafuasi wangu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Funga ushuhuda na kutia muhuri sheria miongoni mwa wanafunzi wangu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Funga ushuhuda na kutia muhuri sheria miongoni mwa wanafunzi wangu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ufunge huo ushuhuda, ukaitie mhuri sheria kati ya wanafunzi wangu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nitalihifadhi agizo hilo na kulifunga fundisho hilo miongoni mwa wafuasi wangu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yafunge, uliyoshuhudiwa! Kisha yatie muhuri pamoja na Maonyo machoni pao wanafunzi wangu!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ufunge huo ushuhuda, ukaitie muhuri sheria kati ya wanafunzi wangu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nitalinda agizo hilo na kuchunga mafundisho hayo kati ya wafuasi wangu.