Isaiah 9:16 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wale wanaoongoza watu hawa wamewapotosha, na hao wanaoongozwa nao wamepotoka.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wale wanaowaongoza watu hawa wanawapotosha, nao wale wanaoongozwa wamepotoka.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa maana wawaongozao watu hawa ndio wawakoseshao, na hao walioongozwa na watu hao wameangamia.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wale wanaoongoza watu hawa wamewapotosha, na hao wanaoongozwa nao wamepotoka.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wale wanaowaongoza watu hawa wanawapotosha, nao wale wanaoongozwa wamepotoka.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wale wanaowaongoza watu hawa wanawapotosha, nao wale wanaoongozwa wamepotoka.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa maana wawaongozao watu hawa ndio wawakoseshao, na hao walioongozwa na watu hao wameangamia.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wale wanaoongoza watu hawa wamewapotosha, na hao wanaoongozwa nao wamepotoka.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani viongozi wa ukoo huu walikuwa wapotevu, nao walioongozwa nao wakaangamizwa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa maana wawaongozao watu hawa ndio wawakoseshao, na hao walioongozwa na watu hao wameangamia.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa hiyo, Yawe hawahurumii vijana wao, hana huruma juu ya wayatima na wajane wao; maana hakuna hata mumoja anayemufuata, kila mutu anasema upumbafu. Hata hivyo, hasira yake haijatulia, angali ananyoosha mukono wake kwa kuwaazibu.