Isaiah 9:8 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mwenyezi-Mungu ametoa tamko dhidi ya Yakobo nalo litampata Israeli.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Bwana ametuma ujumbe dhidi ya Yakobo, utamwangukia Israeli.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Bwana alimpelekea Yakobo neno, likamfikilia Israeli.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mwenyezi-Mungu ametoa tamko dhidi ya Yakobo nalo litampata Israeli.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Bwana ametuma ujumbe dhidi ya Yakobo, utamwangukia Israeli.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Bwana ametuma ujumbe dhidi ya Yakobo, utamwangukia Israeli.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Bwana alimpelekea Yakobo neno, nalo likamfikia Israeli.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mwenyezi-Mungu ametoa tamko dhidi ya Yakobo nalo litampata Israeli.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Bwana alituma neno la kuwatisha wa Yakobo, linawapasa Waisiraeli nao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Bwana alimpelekea Yakobo neno, likamfikilia Israeli.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Watu wote watatambua, ukoo wote wa Efuraimu na wakaaji wa Samaria. Kwa kiburi na majivuno wanasema: