James 1:14 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini mtu hujaribiwa anapovutwa na kunaswa na tamaa zake mbaya.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini kila mtu hujaribiwa wakati anapovutwa na kudanganywa na tamaa zake mwenyewe zilizo mbaya.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Lakini kila mmoja hujaribiwa na tamaa yake mwenyewe huku akivutwa na kudanganywa.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Bali kila mmoja anajaribiwa na tamaa zake mwenyewe, anapovutwa na kunaswa.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Lakini mtu hujaribiwa anapovutwa na kunaswa na tamaa zake mbaya.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini mtu hujaribiwa anapovutwa na kunaswa na tamaa zake mbaya.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini kila mtu hujaribiwa wakati anapovutwa na kudanganywa na tamaa zake mwenyewe zilizo mbaya.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini kila mtu hujaribiwa wakati anapovutwa na kudanganywa na tamaa zake mwenyewe zilizo mbaya.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Lakini kila mmoja hujaribiwa na tamaa yake mwenyewe huku akivutwa na kudanganywa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini mtu hujaribiwa anapovutwa na kunaswa na tamaa zake mbaya.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ila kila mtu hujaribiwa akivutwa na kuhimizwa na tamaa yake mwenyewe.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lakini kila mmoja hujaribiwa na tamaa yake mwenyewe huku akivutwa na kudanganywa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini kila mutu anajaribiwa wakati anapovutwa na kudanganywa na tamaa yake mbaya mwenyewe.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Lakini killa mmoja hujaribiwa akivutwa na kudanganywa na tamaa yake mwenyewe.