James 1:20 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mwenye hasira hawezi kutimiza matakwa ya Mungu yaliyo ya haki.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa maana hasira ya mwanadamu haitendi haki ya Mungu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
kwa maana hasira ya mwanadamu haiitendi haki ya Mungu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
kwa sababu hasira ya mwanadamu haitoi haki inayohitajiwa na Mungu toka kwetu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Mwenye hasira hawezi kutimiza matakwa ya Mungu yaliyo ya haki.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mwenye hasira hawezi kutimiza matakwa ya Mungu yaliyo ya haki.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa maana hasira ya mwanadamu haitendi haki ya Mungu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa maana hasira ya mwanadamu haitendi haki ya Mwenyezi Mungu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
kwa maana hasira ya mwanadamu haiitendi haki ya Mungu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mwenye hasira hawezi kutimiza matakwa ya Mungu yaliyo ya haki.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani makali ya mtu hayafanyi yaongokayo mbele ya Mungu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
kwa maana hasira ya mwanadamu haiitendi haki ya Mungu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa maana mutu mwenye kasirani hawezi kutimiza mambo ya haki mbele ya Mungu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
kwa maana ghadhabu ya mwana Adamu haiitendi haki ya Mungu.