James 1:9 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ndugu aliye maskini anapaswa kufurahi wakati Mungu anapomkweza,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ndugu asiye na cheo kikubwa yampasa ajivunie hali hiyo maana ametukuzwa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Lakini ndugu asiye na cheo na afurahi kwa kuwa ametukuzwa;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Ndugu aliye maskini na awe na furaha sana kwamba Mungu amemchukulia kuwa mtu wa maana sana.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Ndugu aliye maskini anapaswa kufurahi wakati Mungu anapomkweza,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ndugu aliye maskini anapaswa kufurahi wakati Mungu anapomkweza,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ndugu asiye na cheo kikubwa yampasa ajivunie hali hiyo maana ametukuzwa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ndugu asiye na cheo kikubwa yampasa ajivunie hali hiyo maana ametukuzwa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Lakini ndugu asiye na cheo na afurahi kwa kuwa ametukuzwa;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ndugu aliye maskini anapaswa kufurahi wakati Mungu anapomkweza,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini ndugu mnyenyekevu na ajivunie ukuu wake,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lakini ndugu asiye na cheo na afurahi kwa kuwa ametukuzwa;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ndugu anayekuwa masikini afurahi kwa sababu Mungu anamupandisha,
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Lakini ndugu asiye na cheo afurahi kwa kuwa ametukuzwa;