James 2:10 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Anayevunja amri mojawapo ya sheria, atakuwa na hatia ya kuivunja sheria yote.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa maana mtu yeyote anayeishika sheria yote lakini akajikwaa katika kipengele kimoja tu, ana hatia ya kuivunja sheria yote.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Maana mtu awaye yote atakayeishika sheria yote, ila akajikwaa katika neno moja, amekosa juu ya yote.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Ninasema hivi kwa sababu yeyote anayeitunza Sheria yote, lakini akaikosea hata mmoja tu atakuwa na hatia ya kuihalifu Sheria yote.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Anayevunja amri mojawapo ya Sheria, atakuwa na hatia ya kuivunja Sheria yote.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Anayevunja amri mojawapo ya sheria, atakuwa na hatia ya kuivunja sheria yote.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa maana mtu ye yote anayeishika sheria yote lakini akajikwaa katika kipengele kimoja tu, ana hatia ya kuivunja sheria yote.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa maana mtu yeyote anayeishika sheria yote lakini akajikwaa katika kipengele kimoja tu, ana hatia ya kuivunja sheria yote.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maana mtu awaye yote atakayeishika sheria yote, ila akajikwaa katika neno moja, amekosa juu ya yote.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Anayevunja amri mojawapo ya sheria, atakuwa na hatia ya kuivunja sheria yote.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
*Kwani mtu akiyashika Maonyo yote akalikosea moja tu, amekwisha kuyakosea yote.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Maana mtu awaye yote atakayeishika sheria yote, ila akajikwaa katika neno moja, amekosa juu ya yote.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa maana mutu akivunja agizo moja tu la Sheria, yeye anavunja Sheria yote.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Maana mtu awae yote atakaeishika sharia yote, na pamoja na hayo, akijikwaa katika neno moja, amekosa juu ya yote.