James 2:12 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, semeni na kutenda kama watu watakaohukumiwa kwa sheria iletayo uhuru.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hivyo semeni na kutenda kama watu watakaohukumiwa kwa sheria ile iletayo uhuru.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Semeni ninyi, na kutenda kama watu watakaohukumiwa kwa sheria ya uhuru.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mseme na kutenda kama watu watakaokuja kuhukumiwa kwa sheria inayoleta uhuru.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, semeni na kutenda kama watu watakaohukumiwa kwa sheria iletayo uhuru.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, semeni na kutenda kama watu watakaohukumiwa kwa sheria iletayo uhuru.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hivyo semeni na kutenda kama watu watakaohukumiwa kwa sheria ile iletayo uhuru.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hivyo semeni na kutenda kama watu watakaohukumiwa kwa sheria ile iletayo uhuru.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Semeni ninyi, na kutenda kama watu watakaohukumiwa kwa sheria ya uhuru.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, semeni na kutenda kama watu watakaohukumiwa kwa sheria iletayo uhuru.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Semeni, tena fanyeni hivyo, kama watu wafanyavyo watakaohukumiwa kwa Maonyo yanayotupatia kukombolewa!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Semeni ninyi, na kutenda kama watu watakaohukumiwa kwa sheria ya uhuru.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi museme na kutenda kama watu watakaohukumiwa kufuatana na sheria inayotuweka kuwa huru.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Semeni ninyi, katendeni kama watu watakaohukumiwa kwa sharia ya uhuru.