James 2:15 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Tuseme kaka au dada hana nguo au chakula.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ikiwa ndugu yako au dada hana mavazi wala chakula,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ikiwa ndugu mwanamume au ndugu mwanamke yu uchi na kupungukiwa na riziki,
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kama ndugu au dada anahitaji mavazi na anapungukiwa chakula cha kila siku,
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Tuseme kaka au dada hana nguo au chakula.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Tuseme kaka au dada hana nguo au chakula.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ikiwa ndugu yako au dada hana mavazi wala chakula,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ikiwa ndugu yako au dada hana mavazi wala chakula,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ikiwa ndugu mwanamume au ndugu mwanamke yu uchi na kupungukiwa na riziki,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Tuseme kaka au dada hana nguo au chakula.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwetu kukipatikana ndugu mume au mke walio wenye uchi na wenye kukosa chakula cha siku moja tu,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ikiwa ndugu mwanamume au ndugu mwanamke yu uchi na kupungukiwa na riziki,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa mufano: kaka au dada fulani akikosewa nguo au chakula,
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Ikiwa ndugu mwanamume au ndugu mwanamke yu uchi na kupungukiwa riziki,