James 3:18 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Uadilifu ni mazao ya mbegu ambazo wapenda amani hupanda katika amani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mavuno ya haki hupandwa katika amani na wale wafanyao amani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na tunda la haki hupandwa katika amani na wale wafanyao amani.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Wale wenye bidii ya kuleta amani na wanaopanda mbegu zao kwa matendo ya amani, watavuna haki kama mavuno yao.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Uadilifu ni mazao ya mbegu ambazo wapenda amani hupanda katika amani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Uadilifu ni mazao ya mbegu ambazo wapenda amani hupanda katika amani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mavuno ya haki hupandwa katika amani na wale wafanyao amani.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mavuno ya haki hupandwa katika amani na wale wafanyao amani.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na tunda la haki hupandwa katika amani na wale wafanyao amani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Uadilifu ni mazao ya mbegu ambazo wapenda amani hupanda katika amani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nalo tunda la kuzaa wongofu hupandwa nao wenye utengemano panapotengemana.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na tunda la haki hupandwa katika amani na wale wafanyao amani.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na tunda la haki linapandwa katika amani na wale wanaopenda amani.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
na tunda la baki hupandwa katika amani kwa wale wafanyao amani.