James 4:15 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mngalipaswa kusema: “Bwana akitujalia tutaishi na tutafanya hiki au kile.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Badala yake, inawapasa kusema, “Kama Mwenyezi Mungu akipenda, tutaishi na kufanya hili ama lile.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Badala ya kusema, Bwana akipenda, tutakuwa hai na kufanya hivi au hivi.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Badala yake, nyakati zote mngesema, “Kama Bwana anapenda, tutaishi na tutafanya hivi au vile.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Mngalipaswa kusema: “Bwana akitujalia tutaishi na tutafanya hiki au kile.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mngalipaswa kusema: “Bwana akitujalia tutaishi na tutafanya hiki au kile.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Badala yake, inawapasa kusema, “Kama Bwana akipenda, tutaishi na kufanya hili ama lile.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Badala yake, inawapasa kusema, “Kama Mwenyezi Mungu akipenda, tutaishi na kufanya hili ama lile.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Badala ya kusema, Bwana akipenda, tutakuwa hai na kufanya hivi au hivi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mngalipaswa kusema: “Bwana akitujalia tutaishi na tutafanya hiki au kile.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mngesema: Bwana akitaka, tutaishi, tufanye hivi na hivi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Badala ya kusema, Bwana akipenda, tutakuwa hai na kufanya hivi au hivi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ninyi mungepaswa kusema: “Kama Bwana anataka, tutaishi na kufanya hivi na hivi.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Badala ya kusema, Bwana akipenda, tutakuwa hayi na kufanya hivi au hivi.