James 4:17 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, mtu ambaye hafanyi lile jambo jema analojua kwamba anapaswa kulifanya, anatenda dhambi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Basi mtu yeyote anayejua jema limpasalo kutenda, lakini asilitende, mtu huyo anatenda dhambi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi yeye ajuaye kutenda mema, wala hayatendi, kwake huyo ni dhambi.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hivyo sasa, mnaposhindwa kufanya mliyoyajua ni haki, mtakuwa na hatia ya dhambi.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, mtu ambaye hafanyi lile jambo jema analojua kwamba anapaswa kulifanya, anatenda dhambi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, mtu ambaye hafanyi lile jambo jema analojua kwamba anapaswa kulifanya, anatenda dhambi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Basi mtu ye yote anayejua jema limpasalo kutenda, lakini asilitende, mtu huyo anatenda dhambi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Basi mtu yeyote anayejua jema limpasalo kutenda, lakini asilitende, mtu huyo anatenda dhambi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi yeye ajuaye kutenda mema, wala hayatendi, kwake huyo ni dhambi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, mtu ambaye hafanyi lile jambo jema analojua kwamba anapaswa kulifanya, anatenda dhambi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ajuaye kufanya mazuri, asiyafanye, amekwisha kukosa.*
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi yeye ajuaye kutenda mema, wala hayatendi, kwake huyo ni dhambi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi, mutu anayejua kutenda mema wala hayatendi, anafanya zambi.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Bassi yeye ajuae kutenda mema, wala hayatendi, kwake huyu ni dhambi.