Jeremiah 13:15 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Enyi Waisraeli, sikilizeni kwa makini, msiwe na majivuno maana Mwenyezi-Mungu anasema nanyi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Sikieni na mzingatie, msiwe na kiburi, kwa kuwa Mwenyezi Mungu amenena.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Sikilizeni ninyi, kategeni masikio yenu; msifanye kiburi; maana Bwana amenena.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Enyi Waisraeli, sikilizeni kwa makini, msiwe na majivuno maana Mwenyezi-Mungu anasema nanyi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Sikieni na mzingatie, msiwe na kiburi, kwa kuwa BWANA amenena.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Sikieni na mzingatie, msiwe na kiburi, kwa kuwa bwana amenena.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Sikilizeni ninyi, kategeni masikio yenu; msifanye kiburi; maana BWANA amenena.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Enyi Waisraeli, sikilizeni kwa makini, msiwe na majivuno maana Mwenyezi-Mungu anasema nanyi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Sikieni na kusikiliza vema! Msijikweze! Kwani Bwana anasema:
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Sikilizeni ninyi, kategeni masikio yenu; msifanye kiburi; maana BWANA amenena.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Enyi Waisraeli, musikilize kwa uangalifu, musikuwe na kiburi maana Yawe anasema nanyi.