Jeremiah 14:18 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nikienda nje mashambani, naiona miili ya waliouawa vitani; nikiingia ndani ya mji, naona tu waliokufa kwa njaa! Manabii na makuhani wanashughulikia mambo yao nchini, wala hawajui wanalofanya.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ninapokwenda shambani, ninaona wale waliouawa kwa upanga; ninapokwenda mjini, huko ninaona maangamizi ya njaa. Nabii na kuhani kwa pamoja wameenda katika nchi wasiyoijua.’ ”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nikitoka kwenda shambani, tazama, wako huko waliouawa kwa upanga! Na nikiingia mjini, tazama, wamo humo wanaougua kwa sababu ya njaa! Maana nabii na kuhani, wote wawili, huenda huko na huko katika nchi, wala hawana maarifa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nikienda nje mashambani, naiona miili ya waliouawa vitani; nikiingia ndani ya mji, naona tu waliokufa kwa njaa! Manabii na makuhani wanashughulikia mambo yao nchini, wala hawajui wanalofanya.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kama nikienda mashambani, ninaona wale waliouawa kwa upanga; kama nikienda mjini, ninaona maangamizi ya njaa. Nabii na kuhani kwa pamoja wamekwenda katika nchi wasiyoijua.’ ”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kama nikienda mashambani, ninaona wale waliouawa kwa upanga; kama nikienda mjini, ninaona maangamizi ya njaa. Nabii na kuhani kwa pamoja wamekwenda katika nchi wasiyoijua.’ ”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nikitoka kwenda shambani, tazama, wako huko waliouawa kwa upanga! Na nikiingia mjini, tazama, wamo humo wanaougua kwa sababu ya njaa! Maana nabii na kuhani, wote wawili, huenda huku na huko katika nchi, wala hawana maarifa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nikienda nje mashambani, naiona miili ya waliouawa vitani; nikiingia ndani ya mji, naona tu waliokufa kwa njaa! Manabii na makuhani wanashughulikia mambo yao nchini, wala hawajui wanalofanya.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nikitoka kwenda shambani ninaona waliouawa na panga; nikiingia mjini ninaona waliozimia kwa njaa. Kwani nao wafumbuaji pamoja na watambikaji wanahamia nchi, wasiyoijua.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nikitoka kwenda shambani, tazama, wako huko waliouawa kwa upanga! Na nikiingia mjini, tazama, wamo humo wanaougua kwa sababu ya njaa! Maana nabii na kuhani, wote wawili, huenda huko na huko katika nchi, wala hawana maarifa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nikienda inje katika mbuga, ninaiona maiti ya waliouawa kwa vita; nikiingia ndani katika muji, ninaona tu maiti ya waliokufa kwa njaa! Manabii na makuhani wanashugulikia mambo yao katika inchi, lakini hawajui wanalofanya.