Jeremiah 14:19 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ee Mwenyezi-Mungu, je, umemkataa Yuda kabisa? Je, moyo wako umechukizwa na Siyoni? Kwa nini umetupiga vibaya, hata hatuwezi kupona tena? Tulitazamia amani, lakini hatukupata jema lolote; tulitazamia wakati wa kuponywa, badala yake tukapata vitisho.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Je, umemkataa Yuda kabisa? Umemchukia Sayuni kabisa? Kwa nini umetuumiza hata hatuwezi kuponyeka? Tulitarajia amani, lakini hakuna jema lililotujia; tulitarajia wakati wa kupona lakini kuna hofu kuu tu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Je! Umemkataa Yuda kabisa? Roho yako imeichukia Sayuni? Mbona umetupiga, tusiwe na dawa ya kutuponya? Tulitazamia amani, lakini hayakuja mema yo yote, tulitazamia wakati wa kupona, na tazama, kufadhaika tu!
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ee Mwenyezi-Mungu, je, umemkataa Yuda kabisa? Je, moyo wako umechukizwa na Siyoni? Kwa nini umetupiga vibaya, hata hatuwezi kupona tena? Tulitazamia amani, lakini hatukupata jema lolote; tulitazamia wakati wa kuponywa, badala yake tukapata vitisho.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Je, umemkataa Yuda kabisa? Umemchukia Sayuni kabisa? Kwa nini umetuumiza hata kwamba hatuwezi kuponyeka? Tulitarajia amani, lakini hakuna jema lililotujia; tulitarajia wakati wa kupona lakini kuna hofu kuu tu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Je, umemkataa Yuda kabisa? Umemchukia Sayuni kabisa? Kwa nini umetuumiza hata hatuwezi kuponyeka? Tulitarajia amani, lakini hakuna jema lililotujia; tulitarajia wakati wa kupona lakini kuna hofu kuu tu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Je! Umemkataa Yuda kabisa? Roho yako imeichukia Sayuni? Mbona umetupiga, tusiwe na dawa ya kutuponya? Tulitazamia amani, lakini hayakuja mema yoyote, tulitazamia wakati wa kupona, na tazama, kufadhaika tu!
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ee Mwenyezi-Mungu, je, umemkataa Yuda kabisa? Je, moyo wako umechukizwa na Siyoni? Kwa nini umetupiga vibaya, hata hatuwezi kupona tena? Tulitazamia amani, lakini hatukupata jema lolote; tulitazamia wakati wa kuponywa, badala yake tukapata vitisho.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Umemtupa Yuda kabisa? Roho yako imetapishwa na Sioni? Mbona umetupiga? Lakini hakuna atakayetuponya. Tunangojea utengemano, lakini hakuna chema; tunangojea siku za kupona, lakini tunayoyaona ni mastuko.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Je! Umemkataa Yuda kabisa? Roho yako imeichukia Sayuni? Mbona umetupiga, tusiwe na dawa ya kutuponya? Tulitazamia amani, lakini hayakuja mema yo yote, tulitazamia wakati wa kupona, na tazama, kufadhaika tu!
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ee Yawe, umekataa Yuda kabisa? Moyo wako umechukizwa na Sayuni? Kwa nini umetupiga vibaya kama hivi, hata hatuwezi kupona tena? Tulitazamia kupata amani, lakini hakuna kitu kizuri. Tulitazamia kupona, lakini tumepatwa na vitisho.