Jeremiah 14:2 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Watu wa Yuda wanaomboleza, na malango yao yanalegea. Watu wake wanaomboleza udongoni na kilio cha Yerusalemu kinapanda juu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Yuda anaomboleza, kudhoofika kwa miji yake; wanaomboleza kwa ajili ya nchi, nacho kilio kinapanda kutoka Yerusalemu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yuda huomboleza, Na malango yake yamelegea; Wameketi chini wamevaa kaniki; Na kilio cha Yerusalemu kimepaa juu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Watu wa Yuda wanaomboleza, na malango yao yanalegea. Watu wake wanaomboleza udongoni na kilio cha Yerusalemu kinapanda juu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Yuda anaomboleza, miji yake inayodhoofika; wanaomboleza kwa ajili ya nchi, nacho kilio kinapanda kutoka Yerusalemu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Yuda anaomboleza, miji yake inayodhoofika; wanaomboleza kwa ajili ya nchi, nacho kilio kinapanda kutoka Yerusalemu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yuda huomboleza, Na malango yake yamelegea; Wameketi chini wamevaa kaniki; Na kilio cha Yerusalemu kimepaa juu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Watu wa Yuda wanaomboleza, na malango yao yanalegea. Watu wake wanaomboleza udongoni na kilio cha Yerusalemu kinapanda juu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yuda huomboleza, nao waliomo malangoni mwake wamefifia kwa kukaa mchangani na kuvaa nguo nyeusi, navyo vilio vya Yerusalemu hupanda juu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yuda huomboleza, Na malango yake yamelegea; Wameketi chini wamevaa kaniki; Na kilio cha Yerusalemu kimepaa juu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Watu wa Yuda wanaomboleza, miji yake inateketea. Watu wake wanaomboleza wakiikaa katika udongo na kilio cha Yerusalema kinapanda mpaka juu.