Jeremiah 14:20 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Tunakiri uovu wetu, ee Mwenyezi-Mungu, tunakiri uovu wa wazee wetu, maana, tumekukosea wewe.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ee Mwenyezi Mungu, tunatambua uovu wetu na kosa la baba zetu; kweli tumetenda dhambi dhidi yako.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ee Bwana, tunakiri uovu wetu, na ubaya wa baba zetu; maana tumekutenda dhambi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Tunakiri uovu wetu, ee Mwenyezi-Mungu, tunakiri uovu wa wazee wetu, maana, tumekukosea wewe.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ee BWANA, tunatambua uovu wetu na kosa la baba zetu; kweli tumetenda dhambi dhidi yako.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ee bwana, tunatambua uovu wetu na kosa la baba zetu; kweli tumetenda dhambi dhidi yako.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ee BWANA, tunakiri uovu wetu, na ubaya wa baba zetu; maana tumekutenda dhambi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Tunakiri uovu wetu, ee Mwenyezi-Mungu, tunakiri uovu wa wazee wetu, maana, tumekukosea wewe.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tunajua, Bwana, ya kuwa hatukukucha, tukakora manza, baba zetu walizozikora; kweli tumekukosea wewe.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ee BWANA, tunakiri uovu wetu, na ubaya wa baba zetu; maana tumekutenda dhambi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Tunakubali uovu wetu, ee Yawe, tunakubali uovu wa babu zetu, maana, tumekukosea wewe.