Jeremiah 14:5 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hata kulungu porini anamwacha mtoto wake mchanga, kwa sababu hakuna nyasi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hata kulungu kondeni anaacha kinda lake lililotoka kutotolewa kwa sababu hakuna majani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naam, kulungu naye uwandani amezaa, Akamwacha mwanawe kwa kuwa hapana majani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hata kulungu porini anamwacha mtoto wake mchanga, kwa sababu hakuna nyasi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hata kulungu mashambani anamwaacha mtoto wake aliyezaliwa wakati huo huo kwa sababu hakuna majani.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hata kulungu mashambani anamwacha mtoto wake aliyezaliwa wakati huo huo kwa sababu hakuna majani.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naam, kulungu naye uwandani amezaa, Akamwacha mwanawe kwa kuwa hakuna majani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hata kulungu porini anamwacha mtoto wake mchanga, kwa sababu hakuna nyasi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani kulungu nao wakizaa porini huwaacha watoto, kwa kuwa hakuna majani.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naam, kulungu naye uwandani amezaa, Akamwacha mwanawe kwa kuwa hapana majani.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hata kulungu anazaa katika pori na kuacha kitoto chake, kwa sababu hakuna majani.