Jeremiah 17:9 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Moyo wa mtu ni mdanganyifu kuliko vitu vyote; hauwezi kuponywa, hakuna awezaye kuuelewa!
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Moyo ni mdanganyifu kuliko vitu vyote, ni mwovu kupita kiasi. Ni nani awezaye kuujua?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Moyo huwa mdanganyifu kuliko vitu vyote, una ugonjwa wa kufisha; nani awezaye kuujua?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Moyo wa mtu ni mdanganyifu kuliko vitu vyote; hauwezi kuponywa, hakuna awezaye kuuelewa!
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Moyo ni mdanganyifu kuliko vitu vyote, ni mwovu kupita kiasi. Ni nani awezaye kuujua?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Moyo ni mdanganyifu kuliko vitu vyote, ni mwovu kupita kiasi. Ni nani awezaye kuujua?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Moyo huwa mdanganyifu kuliko vitu vyote, una ugonjwa wa kufisha; nani awezaye kuujua?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Moyo wa mtu ni mdanganyifu kuliko vitu vyote; hauwezi kuponywa, hakuna awezaye kuuelewa!
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Moyo wa mtu hudanganya kuliko mengine yote, tena huponza; yuko nani aujuaye?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Moyo huwa mdanganyifu kuliko vitu vyote, una ugonjwa wa kufisha; nani awezaye kuujua?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Moyo wa mutu ni mudanganyifu kuliko vitu vyote; hauwezi kuponyeshwa, hakuna anayeweza kuuelewa!