Jeremiah 18:9 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hali kadhalika, wakati wowote nikitoa tamko kuhusu taifa au ufalme kwamba nitalijenga na kulistawisha,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wakati mwingine nitakapotangaza kuwa taifa au ufalme utasimikwa na kujengwa,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na wakati wo wote nitakapotoa habari za taifa, na habari za ufalme, kuujenga na kuupanda,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hali kadhalika, wakati wowote nikitoa tamko kuhusu taifa au ufalme kwamba nitalijenga na kulistawisha,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ikiwa wakati mwingine nitatangaza kuwa taifa ama utawala ujengwe na kusimikwa,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ikiwa wakati mwingine nitatangaza kuwa taifa ama utawala ujengwe na kuwekwa wakfu,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na wakati wowote nitakapotoa habari za taifa, na habari za ufalme, kuujenga na kuupanda,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hali kadhalika, wakati wowote nikitoa tamko kuhusu taifa au ufalme kwamba nitalijenga na kulistawisha,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mara ninaagiza taifa au ufalme kuwajenga na kuwapanda
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na wakati wo wote nitakapotoa habari za taifa, na habari za ufalme, kuujenga na kuupanda,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Vilevile inaweza kunifikia kukusudia wakati wowote juu ya taifa au ufalme fulani kwamba nitalijenga na kulistawisha.