Jeremiah 2:14 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Je, Israeli ni mtumwa, ama amezaliwa utumwani? Mbona basi amekuwa kama mawindo?
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Je, Israeli ni mtumishi, yaani mtumwa kwa kuzaliwa? Kwa nini basi amekuwa mateka?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Je! Israeli ni mtumwa? Je! Ni mzalia? mbona amekuwa mateka?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Je, Israeli ni mtumwa, ama amezaliwa utumwani? Mbona basi amekuwa kama mawindo?
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Je, Israeli ni mtumishi, yaani mtumwa kwa kuzaliwa? Kwa nini basi amekuwa mateka?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Je, Israeli ni mtumishi, yaani mtumwa kwa kuzaliwa? Kwa nini basi amekuwa mateka?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Je! Israeli ni mtumwa? Je! Ni mzalia? Mbona amekuwa mateka?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Je, Israeli ni mtumwa, ama amezaliwa utumwani? Mbona basi amekuwa kama mawindo?
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Je? Isiraeli ni mtumwa au mzalia wa nyumbani? Mbona wamekuwa mateka?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Je! Israeli ni mtumwa? Je! Ni mzalia? mbona amekuwa mateka?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Israeli ni mutumwa, au amezaliwa mutumwa? Hapana! Kwa nini basi amekuwa kama nyama anayewindwa?