Jeremiah 2:16 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Isitoshe, watu wa Memfisi na Tahpanesi, wameuvunja utosi wake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Pia watu wa Memfisi na Tapanesi wamekupiga fuvu la kichwa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tena wana wa Nofu na Tahpanesi wamevunja utosi wa kichwa chako.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Isitoshe, watu wa Memfisi na Tahpanesi, wameuvunja utosi wake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Pia watu wa Memfisi na Tahpanhesi wamevunja taji ya kichwa chako.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Pia watu wa Memfisi na Tahpanhesi wamevunja taji ya kichwa chako.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tena wana wa Nofu na Tapanesi wamevunja utosi wa kichwa chako.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Isitoshe, watu wa Memfisi na Tahpanesi, wameuvunja utosi wake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha Wamisri wa Nofu na wa Tahapanesi wakaulisha utosi wako.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tena wana wa Nofu na Tahpanesi wamevunja utosi wa kichwa chako.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hata watu wa Nofi na Tahapanesi, wamenyoa nywele ya kichwa chake.