Jeremiah 2:18 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Na sasa itakufaa nini kwenda Misri, kunywa maji ya mto Nili? Au itakufaa nini kwenda Ashuru, kunywa maji ya mto Eufrate?
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Sasa kwa nini uende Misri kunywa maji ya Shihori? Nawe kwa nini kwenda Ashuru kunywa maji ya Mto?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na sasa una nini utakayotenda katika njia iendayo Misri, kunywa maji ya Shihori? Au una nini utakayotenda katika njia iendayo Ashuru, kunywa maji ya ule Mto?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Na sasa itakufaa nini kwenda Misri, kunywa maji ya mto Nili? Au itakufaa nini kwenda Ashuru, kunywa maji ya mto Eufrate?
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Sasa kwa nini uende Misri kunywa maji kutoka katika Shihori? Nawe kwa nini kwenda Ashuru kunywa maji yatokayo katika Mto Eufrati?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Sasa kwa nini uende Misri kunywa maji ya Shihori? Nawe kwa nini kwenda Ashuru kunywa maji ya Mto Frati?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na sasa una nini utakayofaidi katika njia iendayo Misri, kunywa maji ya Shihori? Au una nini utakayofaidi katika njia iendayo Ashuru, kunywa maji ya ule Mto?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Na sasa itakufaa nini kwenda Misri, kunywa maji ya mto Nili? Au itakufaa nini kwenda Ashuru, kunywa maji ya mto Eufrate?
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Na sasa kwa sababu gani unakwenda Misri kunywa maji ya Sihori? Tena kwa sababu gani unakwenda Asuri kunywa maji ya lile jito kubwa?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na sasa una nini utakayotenda katika njia iendayo Misri, kunywa maji ya Shihori? Au una nini utakayotenda katika njia iendayo Ashuru, kunywa maji ya ule Mto?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na sasa itakufalia nini kwenda Misri kunywa maji ya muto Nili? Au itakufalia nini kwenda Asuria kunywa maji ya muto Furati?